Bado Masaaa machache sana Mzee Wa nyeupe anaanza kuswaga Ng'ombe km hujui muulize Alisha sema mwenyewe. Wastno time to tink abt ccm cuz they ar untouchable.
Team EL mmeshinda kwa lipi wakati jamaa ndio kashakosa uraisi hivyo na kwa taarifa ndio kashapotea kwenye system na no room ya yeye kurudi tena in the future.
Sijui ushindi wenu ni kuunga mkono mtia nia mwenza na EL au ilikuwa mnapambana kwa nguvu zote na vurugu za pesa kubwa kuhakikisha El...
Njia ya Dar Mwanza ni City boy na namba 2 ni bestline. haya ni mabasi ya kawaida sana kama vile mabasi ya morogoro - Ifakara Mahenge kwa mwonekano wake ila ndio yanayo ongozo kuwahi kufika Mwanza. Mwanzo wa safari huwa kama vile ndio mabasi ya mwisho hali ambayo hutokana na kuwa wanatumia mda...
Inabidi mtegemee kuona mambo km hayo na kwa kifup hata macruita waliopo mafunzon nao wanaweza wakawa tayari wameandaliwa kwa kuzima moto wa chadema
:llama::llama::llama::llama::llama: kimbia fanya fasta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.