Gael Bigirimana ni alikuwa Midfielder wa Glentoran na Midfielder wa Timu ya Taifa ya Burundi. Pia amewahi kuchezea EPL na Newcastle. Hii ni Surprise tu usajili mkubwa unakuja kwa Wananchi
Kuna baadhi ya Wanasoka wamesikitishwa na kukosekana kwa jina la Top Score wa NBC George Mpole kwenye tuzo za Ligi Kuu ya NBC wakidai ni kukosekana kwa uzalendo kwa wachezaji wa ndani. Kinachotokea kwa Mpole ni kama kilichotokea kwa Son aliyekuwa Top Score wa EPL bila goli la penati lakini...
Yanga ambayo ilikuwa nje ya mategemeo ya wapenzi wengi wa soka hapa nchini ya kuweza kuchukua Ubingwa wa Tanzania. Ilionyesha ushujaa wake wa kulisaka soka katika mchezo wake wa mwisho dhidi ya Small Simba ya Zanzibar ambapo yanga ilishinda kwa magoli 4-1 mchezo uliofanyika katika Uwanja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.