Mamb vipi wana JF,
Aisee siku ya Jtatu nilitakiwa niwai kuja Arusha kwa ajili ya majukumu muhimu sana, kwa bahati mbaya nilikosa train ya saa nane ya kuja Arusha so ikanibidi nitafte namna ya kuondoka jioni hyo hyo.
So kuna jamaa ang alikua anafaham hzo coaster za kuja arusha zinachukua abiria...
Mambo vp wadau wa JF ,ivi unajua kwa nn watu wengine wana mafanikio makubwa kuliko wengine ,ni kwa sababu ya kuwa na mawazo mbadala jinsi ya kuendesha biashara ,maana hamna mtu anapenda kutafuta pesa ya kula miaka yake yote hapa duniani
Uzi wangu unahusu jinsi ya kutengeneza faida ya ziada kwa...
Mamb vp wadau wa JF, ebwana natafuta frame maeneo tajwa hapo juu kwa ajili ya kuanzisha duka la accesories ,frame ikiwa maeneo ya sinza au makumbusho itapendeza zaidi
frame iwe na kigai na gypsum yan inshort iwe frame imetulia ,isiwe kubwa sanaaa ,maana bado napambania
kodi kwa mwezi iwe...
karibu mkuu acha ambao wanataka vya bure wawndelee kutoa comments za ajabu ajabu hapa huku maisha yao yanabaki pale pale wanalalamika hawana ajira [emoji16][emoji1787]
Natafuta Aluminium door kama huo ,ulotumika ,Bei ikiwa nzuri nalipia mda wowote chap nipigie 0746751987
ukinipa connection nikanunua naktumia 20,000 yako mapema tu
Bila kupoteza mda hope kama unasoma uzi huu uko salama kabisa ,ebana kama kijana ni muhimu kutoa mawazo ya biashara kwa vijana wenzangu nao amini bado tunatafuta
Sasa kuna watu ambao wanasema hawana ajira ,maisha ni magumu lakini hajawah hata jaribu ku risk pesa yake katika ku invest pesa yake...
Nawafahamu vizur ila ww hujafikiria kabisa wambie wana JF na gharama zao ,mzigo gan utaagiza kwa 100,000 pale [emoji23][emoji23][emoji23] kijana wa hovyo sana ww
Yan shida ya watanzania tunapenda vitu vya bure sana ,yan for 20,000 unabadilisha maisha yako kama una mtaji wako kuanzia 100,000 sasa wanaona hata mm kutenga mda kufundisha nifanye bure [emoji22]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.