Hatuna adui wa namna hiyo sisi.
Nani hapa Africa tuingie nae uhasama kiasi kwamba atutumie hizo drones??
Hao magiants sisi ni vibaraka wao, wakija hapa tunawapigia magoti na kuwaomba misaada.
Hawa majirani nao hali jojo kama sisi tu.
Kwani imeisha?? Nayo naskia ni kama isidingo haiishi.
Kinachonikera kwenye tamthilia ni hicho tu, hizi chuma haziishagi.
Nakumbuka ni 2021 sijui ile, nilikuta home wanakimbizana kuangalia huba, ajabu mpaka 2023 naskia bado ipo. Nahamaki zaidi ati hadi leo 2024 bado chuma ipo tu, huwa...
Mi nachoamini ni kula kulingana na shughuli unazofanya na kuepuka kula hovyo, kunywa hovyo na ulevi kupindukia.
Hizi mambo za kula muhogo mmoja, sijui ugali au wali kwa ukubwa wa ngumi yako na mamboga tele, kuna wengine utawaua njaa.
Nadhani huo ushauri mwingi wa vyakula ni kwa wale...
Umeniambia nikupe namba, nimekupa. Unaniambia tena nisipende slope mkuu, mbna unanidhalilisha hadharani ilhali wewe ndo umetoa ahadi.
Kama huna, unasema tu sina mkuu.
Bia mbili na hiki kibaridi ni burudani kabisa.
Hao ukiwapa stage wanapuyanga, comedy sio jambo rahisi ujue.
Hao kama huyo jamaa wapo wengi tu kitaa, kuna mtu story ya yeye kutoka geto kwake kufata vocha akapisha tu na mdada mzuri, yeye anaiboresha anatia chumvi kibao mpaka story iishe hamna mbavu.
Tunao, tunaishi nao. Ujue content huisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.