Search results

  1. C

    Hivi uchunguzi wa kesi za makatibu wakuu hawa vipi?

    Waungwana naomba mnijuze uchunguzi wa kesi ya Mama Blandina Nyoni wa wizara ya Afya na mwenzake Jairo wa wizara ya madini na nishati maana sijasikia hatua zilizochukuliwa dhidi yao.
  2. C

    Je mtu huzaliwa na ubaya au hufunzwa na walimwengu?

    Wana JF naomba mnisaidie katika jambo hili, nimekuwa nikisikia watu wakatumia sana msemo huu kuwa ubaya hawakuzaliwa nao bali wamefundishwa na ulimwengu, je hii ni kweli?
  3. C

    Hodi hodi jamvini

    Hodi jamvini, naombeni mnipokee, Bujibuji, Mwita 25 na Asha Dii
Back
Top Bottom