Mashabiki wa timu ya Yanga wamepata ajali mbaya ya kugongwa na lori Fuso usiku huu. Ajali imetokea maeneo ya Msata. Walikuwa wakitokea Tabata, kuna waliopoteza maisha na majeruhi.
Dereva wa fuso amekimbia na kuelekeza lori lake vichakani
Poleni sana waathirika
---
Basi la Mashabiki wa Yanga...
ᏙᏆͲᎪ ᏙᎽᎪ ͲᎪΝᏀᎪ - ᏙᏆͲᎪ ᏙᎽᎪ ΝᎽႮᏦᏆ
3–5 ⁿᵒᵛᵉᵐᵇᵉʳ 1914
BATTLE OF TANGA
Au Mapigano ya Tanga, ambayo wakati mwingine pia hujulikana kama Mapiganoya Nyuki yalikuwa ni shambulio lisilofanikiwa la Jeshi la Uingereza lenye makao yake nchini India chini ya Meja Jenerali A. E. Aitken ili kukamata Afrika...
Ni wiki ya pili sasa hatuna umeme, transformer yenu iliharibika baada ya nyie kutoianyia maintenance kwa miaka.
Kila mkija mnazunguka zunguka na lori lenu mnaangalia transformer kisha mnaondoka.
Simu hampokei., na mkipokea mmekuwa waongo mno.. Hapa kuna taasisi zaidi ya tatu zinazotegemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.