Search results

  1. D

    Swali kuhusu Repackaging (kufungasha upya bidhaa iliyozalishwa na kufungashwa na mwingine)

    wakuu naomba kufahamishwa. je,ninaruhusiwa kuifungasha upya kwenye mifuko yenye nembo yangu bidhaa iliyotengenezwa na kufungashwa na mtu mwingine? mfano nanunua bidhaa iliyosindikwa na kuwa packed na kampuni fulani iliyothibitishwa ubora na shirika la viwango la kimataifa ISO, kisha mimi...
  2. D

    neno moja ndani ya katiba.Mh Zitto angeweka acauntability(uwajibikaji),wew e je?

    wakuu tukiwa tunaelekea kwenye katiba mpya napendekeza lifuatalo; tuweke maneno tunayoamini kuwa ni ya msingi kwenye katiba mpya kwa ajili ya tafakari zaidi bones are made before the flesh and the flesh before the skin. kwa kuwa JF have great thinkers nategemea bones are going to be...
  3. D

    What they call it a constant is not constant!

    mara nyingi kwenye kusoma kwangu sayansi nimekutana na maneno,'assume other terms are constant'. kuna wakati i also assumed so as to proceed with my calculations, "fake calculations". siku moja nilipokuwa kwenye lecture ya fluid mechanics, lecturer aliandika formula hii; PV=nRT kisha ikafuatiwa...
  4. D

    Spika kusema "hapa hakuna kupiga kura" ni kumuogopa rais?

    Jana katika kikao cha bunge cha jioni spika alisema,kwa uendeshaji bora wa bunge suala lililozua mjadala juu ya nani ashirikiane na kamati maalum ya kukusanya maoni juu ya katiba mpya katika ngazi ya wilaya analipeleka kwenye kamati ndogo ya sheria ya bunge na kwamba katika hilo hakuna kupiga...
  5. D

    kizazi cha nne lazima kife na katiba yake kwa Tz mpya!

    Historia na maandiko yanatuonesha kuwa; madhara ya kizazi cha kwanza yanagusa hadi kizazi cha nne! na vingine mbele endapo hakuta kuwa na mwanzo mpya. Tz sasa tupo kwenye kizazi cha nne, tusilalamike what we are facing now,system imeishakaba, nothing will change, inflation inatisha. Tuvumilie...
Back
Top Bottom