Jana natoka zangu job jioni niko kwa hiace nimekaa na dada mmoja seat ya pembeni. Kasinzia hadi ananiegemea; nikaona isiwe kesi, kidume nikakaza tu kibingwa.
Sasa tumefika kituo fulani konda anauliza kuna abiria ana-drop, yule dada si kashtuka usingizini karopoka, "hee! jamani vaa condom...
usifikr kula om ndo kukosa pesa uijui aina ya familia nnayotea dats y u said dat hahah[emoji28][emoji28] ila wory out ushauri wako wameupokea walio ktk iyo stuation ya kukosa ata jero ya kula
Basi bana leo niko zangu home nimelala mida ya mchana mchana hivi baada ya njaa kunitandika kinoma nikaona nijiegeshe kwa bed nivute vute muda wa menu liive kwa kwasababu beki 3 alikuwa jikoni anafanya mambo.
Nimelala kuanzia mishale ya saa 7 mchana mpaka nakuja kushituka mishale ya saa 9 kama...
uko sawa kabisa[emoji16][emoji16] mwenyew nshaklaga kiutani na tukakubaliana na mtoto tufurahishane tu kwa hyo cku kwasaab kila mtu alikua na mtu ake ila baada ya kumla tu mtoto kesho yake karud om anataka kuweka kambi kwamba mchiz wake anamrusha kwa bed nkagoma [emoji38][emoji38][emoji38]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.