Ingawa sio mwanasheria; receipt (stakabadhi) ni ishara ya kwamba umelipa malipo no halali. Notification inaonyesha kosa na faini. Nakushauri nenda kituoni ili upewe stakabadhi ya malipo. Hiyo notification inaweza kutengenezwa mitaani siziamini sana.
Kabla sijamfajamu vizuri Polepole nilifikiri mtu makini sana kumbe ni mtu hopeless kabisa ni mtu anayesahau jana, siku zote nitamkumbusha mtu mmoja aliyekuwa anamtukana aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata kilichopata baada ya kushinda urais ndugu CHANDA CHIMBA I I
Sio muda mrefu Polepole atakuwa kama CHANDA CHIMBA wa Zambia aliyejitoa kwa nguvu zote kumtukana, kumkejeli aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Michael C. Sata kipindi kama hili
Mtangazaji, mmoja ndugu yangu pale TBC anakuambia ukionekana unataka kuripoti kama CNN; siku hiyo utapewa barua ya likizo pamoja na marupurupu, ukirudi nafasi yako imejazwa. Mshana is useless
Watanzania, tusijidanganye kiingereza kipo juu, kwanza kiswahili ni somo ambalo wanafunzi wetu wanashindwa kwa kiwango cha juu. Mfano matokea ya hivi karibu, kijana mmoja amepata kiswahili C na Kiingereza amepata B+. Tafakari
Mimi nampa big up sana Sugu, ile ndiyo tunaitaka wanambeya, sio mbunge kila anacholetewa na serikali ya nyinyiem anapiga makofi na bado muda mchache akina ndugai wataona
Kwa mawazo yangu, Mwigulu ni mtu muhimu sana kwetu wanachadema, maana kila mahali anapopita, ccm inakufa, wananchi ni waelewa kwa sasa, alikuja mbeya kwenye uchaguzi wa kata ya Iyela ika kwake, akaenda Arusha, akaondoka kwa aibu. Mwigulu endelea tumeona mafanikio kwetu. Bila wewe ccm ingetutesa sana
Viongozi wa namna hii tujihadhari nao, lazima tujiuulize hizi fedha watarudisha vipi? Kwa sasa ukitaka upate hela nyingi kwenye tamasha mwite EL, utaona mambo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.