hayo ya kuwa mke wa mbowe ni maneno ya kujaribu kuchafua sifa nzuri alizonazo na ni maneno ya mkosaji daima . Arusha lazima watamheshimu sana go Mukya go usikatishwe tamaa na hawa wenye wivu wa kike
historia ya nini tuangalie muda huu hayo ya historia tutayatumia kama rejeo tu , au kama una historia ya yeyote aliyewahi kufanya haya anayoyafanya mbunge huyu yabandike hapa
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni , ni mbunge gani anaweza kumudu kazi anazofanya mukya , anazunguka nchi nzima kwa wahanga zanzibar ni yueye peke yake alienda kule wabunge wengine wanakula kuku Dar hongera go mukya go
habari wanajf nimekuwa mfuatiliaji wa jukwaa hili kwa muda mrefu sasa wakati umefika na mimi nimeona nipate kuchangia badala ya kusoma mawazo wa wenzangu
naomba nitakapokosea munirekebishe polepole si kunizodoa
hodi waungwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.