Search results

  1. Tanzanianiano

    Nahitaji kwenda kutembelea sehemu aliyobatizwa Jesus na maeneo mengine maarufu ya zamani kama Nazareth etc

    Naomba msaada wa maelezo kutoka kwa mtu ambaye ameshafika maeneo hayo na gharama zake zipo vipi. Je ni airport ipi ipo better au karibu na hayo maeneo? Tour guide ipoje? Asanteni sana.
  2. Tanzanianiano

    Usafiri wa Basi from Dar es Salaam to Johannesburg

    Habari wanaJF, Nipo na plan ya kusafiri Dar -Jo'burg kwa bus. Naomba msaada kufahamu yafuatayo: Safari inachukua siku ngapi? Route ipi ni the best kati ya kupitia Lusaka au lilongwe? Nauli ni bei gani, kampuni ipi ya mabasi ipo vizuri? Na kingine chochote cha kuzingatia kwenye safari.
Back
Top Bottom