Kama alivyokuwa Mh. Regia ndio vijana wote wanapashwa kuishi maisha ya kila siku, nashawishi uanzishwe mkakati ambao vijana wengi watafundishwa jinsi ya kulitumikia taifa. Marehemu alikuwa na ujasiri sifa yake kubwa na uwezo wa kuthubutu kufanya jambo kwa maslahi na maendeleo ya taifa...
wakati sera ya kilimo kwanza ikiwa katika utekelezaji Mh. PM na Mrs Tunu wako ziarani Brazil kujionea na kujifunza kilimo cha kisasa ikiwa ni pamoja kutembelea viwanda vya zana za kilimo. sijui serikali inataka kuleta nini tena baada ya power tillers.ule msafara wake sijui kama kiongozi anaye...
Hali inayoendelea igunga hadi sasa ni kweli wananchi na wenye maslahi na uchaguzi huo wanashindania kushinda na kupata ubunge kwa KAFUMU au KASHINDYE au MAHONA? Au kuna lazaidi? mi nadhani sio tu hao wagombea wapate ubunge.
Mtizamo: VYAMA VYA SIASA HASA CCM NA CHADEMA WANATAKA KUOSHA MAJINA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.