Cooling fan haifanyi kazi kwa usahii, inatoa sauti ambayo imekuwa kero, tatizo hili limeanza juzi.
Nimejaribu kufanya mawasiliano na fundi ninayemuamini ila yuko busy.
So nimeona nije kwenu kwanza na kama kuna fundi yuko Dodoma mjini basi tutafutane leo.
Habarini wakuu..
Nauza turubai aina tofauti tofauti, ambazo zinaweza kutumika kwa shughuli mbali mbali kama vile kuanikia mazao (mpunga n.k)
Turubai nyeupe (size 4/5) 50,000/= Katon
Turubai za blue (size 4/5). sh 55,000/= @ katon
Turubai za blue kubwa (size 4/6 kg 18) 100,000/= Katon...
Kama kuna chochote kile kimewahi ku'kukuta kati ya haya mambo,
1.kufukuzwa kazini/kukosa kazi.
2.kuumizwa na mapenzi kama vile kuachwa.
3.kufiwa na mtu wa karibu.
4.kuumia ama kuumwa.
5.kupoteza mali yako km vile simu.
N.k
Naomba tu'share njia ambazo unazitumia/ulizitumia ili kuondoa mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.