Wadau nina simu aina ya itel ina android nataka kutumia intrrnet kupitia line ya tigo naomba mnisaidie kujaza maelezo yafuatayo: Name. APN. Proxy. Port. Username. Password. Server. Mmsc. MNC. Authentification type.APN type.APN protocal. Nitashukuru kwa msaada wenu
Treni lenye route ya stesheni mpaka Ubungo maziwa likiwa na mabehewa sita limewaacha abiria zaidi ya 1000 waliokua wakisubiri kupanda katika kituo cha kamata.abiria hao ambao wengi wao wametokea kariakoo wamesubiri treni hilo kwa muda wa Saa nzima treni limekuja toka stesheni likiwa tayari...
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ni mjasiriamali ambaye nimebobea katika fani ya welding,nawatangazia wote wanaohitaji grilles na mageti kwenye nyumba zao na mahofisini, contact zangu ni 0713448716 na 0758311811
Namba msaada wa mawazo,nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa masikio kwa muda mrefu{miaka 5} hospitali nilipewa vidonge na eardrops havikusaidia,yanawasha kavukavu hayatoi maji. naomba mawazo yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.