Mungu ingilia kati.
Yani hapo ulipo unagawa?
Dunia imeenda mbali Sana.
Mkuu Yani tuko wote hapa siku zote tunajua we Mwanaume kumbe jike dime? Si ungetuambia mapema??
Pamoja na kufanya kazi na NGO za kimataifa lakini naona akili ni ya kijijini.
Mtu
1. Mzinzi
2. Unamhudumia
3. Unajinunulia zawadi
4. Unajilipia magari.
5. Anakula mitaji ya biashara
Huoni kuwa uko na tapeli? Sio amebakisha tu kukuroga alale na wanawake wengine na ulipe mshahara.
Dada unawaza...
Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
Mathayo 19:8
Talaka sio rehema,ni wakati moyo ukiwa mgumu na ukishindwa kusamehe. Ndio maana ikawekwa talaka.
Ninachojua, mahakamani lazima watakurudiaha Kwa viongozi wa dini, wajiridhishe ndipo wataandika talaka.
Hata Bibilia inaruhusu talaka kwenye uzinzi. Yaani ugundue kabisa anatoka nje ya ndoa, ukishindwa kusamehe uko huru kumpa talaka. Viongozi wengine wa dini wanashindwa tu kuitafsiri vizuri...
Kuna wakati dini imeeleweka vibaya sababu ya viongozi wa hovyo.
Yesu anasema usimuache mke kama hajafanya dhambi ya uzinzi. Mathayo 5:32.
Hakuna haja ya kupatanisha mke na mume kama mmoja wapo ni mzinzi na yule ambaye ni mwaminifu anataka kuachana naye.
Msamaha ni kanuni ya mbingu, ila...
Baada ya kuangalia season Sanaa, nikaona huu ujinga. Yaani naangalia watu wanavyo pigana itanisaidia nini wakati hata pushapu zenyenye sipigi zaidi ya 2😃😃. Nikageugia vitabu.
Though nilikuwa napenda Sana kusoma tangu nikiwa mdogo, ila mapinduzi makubwa ni kipindi nikiwa chuo.
Jamani tusome...
Jiulize, Kama kwenye uchumba tu mnagombana kiasi hiki kwenye ndoa si kila siku mtakuwa wa wakusuluhishwa?.
Huyo sio mtu sahihi, atakusumbua. Kama anajiua wewe sio mwokozi wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.