mkuu wewe ni msabato na ulikua unahitaji mume??/ maana naona nimekukera sana ,pole ila ndio msimamo wangu,na wenye sifa wamekuja inbox najaribu kufanya selection kutokana na vigezo vyangu ili kupata mtu sahihi
kuwa mkweli toka moyoni mwako msikitini na kanisani sehemu gani kanzu inavaliwa kwa wingi,ok nchi za kiislam na zenye wakristo wengi vazi la kanzu linavaliwa sana nchi zipi kati ya hizo.rudi mtaani kwako siku ya ijumaa na jumapili vazi la kanzu linavaliwa siku gani kwa wingi kati ya siku hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.