Wasalam wajumbe,
Ningependa kujua ni jinsi gani mfumo wa kuSign fedha za kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu unafanya kazi.
Iko hivi: A/C number yangu ya bank imekosewa na HESLB. Kila nikifanya marekebisho kwenda HESLB, siku wanapo leta majina huwa jina langu linakuja likiwa na makosa...
Kumetokea utapeli mpya, huu nimeushuhudia manispaa ya Moshi Mjini.
Iko hivi, kunawafanyabiashara wa vyombo vya electronics kama vile Simu na Computers ambao wanauza hivi vifaa vipya na vingine used.
Hawa jamaa wakikuuzia kifaa used (let's say Simu) huwa wanakaa baada ya muda fulani then mteja...
Hi there!,
Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:
1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana kunazingine zinaLimit watu kutoka mataifa fulani kutojiunga)
2. Swala la malipo lisiwe changamoto...
Nipeni na mimi mwongozo wa JavaScript
Lengo nikuwa developer wa Front-End Web based applications
Nimeshaanza tutorials za JavaScript kule SoloLearn ila naona bado hazijitoshelezi
Nisaidieni materials gani natakiwa kuyapitia ikiwezekana na sources zake ili kuwa vizuri katika web apps...
Tatizo litakuwa hapo kwenye ID ya nje.
Umesema sio lazima kutumia VPN
Je, naweza kutumia ID zangu za ndani na Acc. yangu ikawa verified nanikaweza kufanya hiyo miamala ya BTC
Pia kama haiwezekani, kama hutojali unaweza ukaShare njia ambazo naweza nikafanya na Acc. ikawa active
note: Acc. hiyo...
Wakati wanasayansi duniani wakihangaika kupata chanjo na tiba ya virusi vya corona, rais wa Madagascar Andry Rajoelina amezindua dawa ya mitishamba ''inayotibu'' Covid-19 .
Virusi vya Corona: Rais wa Madagascar adai kupata tiba ya corona - BBC News Swahili
Hata hivyo Shirika la Afya Duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.