Kiwanja kinauzwa kibaha picha ya ndege upande wa kutoka mjini(sofu)kina ukubwa wa sqmeters 669 yaani 40 x 17 kimepimwa na kina hata miliki na hakidaiwi kodi.
Hakuna dalali, kwa mawasiliano 0683328228 karibuni. Bei ni 8M
Huyu ndugu bado hajajua nini cha kufanya halafu sidhani kama yupo serious na hiyo biashara,Ebu kwanza tueleze unamtaji wa sh ngapi,na tupe idea yako kidogo juu ya vitenge
Habari,
Mim ni msichana 31 natafuta mume wa kunioa. Nimeokoka na mpenda Yesu, sina mtoto nina elimu ya chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe nafanya biashara.
Sifa za mume awe na hofu ya Mungu na kuishi katika njia zimpendazo Mungu, awe amejiajiri au anafanya kazi.
Karibu pm kwa maelezo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.