-Kiwanja kipo Kiluvya Gogoni mbele ya Kibamba
-Kiwanja kinatazama Morogoro road
-Kina ukubwa wa square meter 4800s
-Kina hatimiliki
-Kinafaa kwa matumizi ya sheli,godown au kiwanda
bei : mil 280 (maongezi yapo )
mawasiliano: 0765494548
NB: Kama tunavyojua stand imehamia mbezi mwisho hivyo...
-Eneo lipo Goba karibu na njia nne,limeface barabara ya lami
-Ukubwa wa eneo ni square meter 2961
- Eneo lina hati kwa matumizi ya sheli
Bei: maelewano na mmiliki
mawasiliano: 0765494548
-Fremu zipo katika mfumo wa ghorofa chini na juu,ziko 12 zinaface barabara na baadhi zina watu tayari (kupangisha fremu moja ni 70 kwa mwezi)
-Nyuma ya fremu kuna vyumba vya kupangisha chumba na sebule partition 5 na kimoja master kinajitegemea ( bei ya kupangisha chumba na sebule ni elfu...
-Nyumba ipo Kinyerezi mwisho 1.5 km kutoka barabara ya lami
-Ina vyumba vitano,viwili master,sebule,dinning,public toilet,jiko na stoo
-Ukubwa wa kiwanja ni sqm 700 ( 35 kwa 20)
-Pamepimwa lakini hakuna hati
-Haina ukuta
bei: mil 85 ( maongezi yapo)
Mawasiliano : 0765494548/0755079111
-Nyumba ipo kimara matosa njia panda ya Kimara na Matosa. Ni eneo lililotulia lisilo na kelele kwa ajili ya kujipumzisha na familia ukitoka kwenye mihangaiko ya siku nzima
-Nyumba ina vyumba 3 kimoja master,sebule,dinning,jiko na public water closet(toilet).
-Ina fense, perving blocks na...
-Eneo linapatikana mbezi mwisho stand karibu na soko la mbezi
-Eneo ni kubwa limekatwa viwanja vidogo vidogo 5 vyenye sqm 400 ( 20 kwa 20) na vyote vina hati
-eneo haliko bondeni liko sehemu nzuri
-barabara ni nzuri ya kufika kwenye eneo
-huduma muhimu ziko karibu
bei kwa kila plots ni...
-Kiwanja ni kikubwa sana kikiwa na ukubwa square meter 1350 (45 kwa 30)
-Kipo Mbezi Msumi njia panda ya kavimbirwa
-Kinaface barabara kubwa ya mtaa
-Kiko tambarare
bei; mil 16 ( mazungumzo yapo kidogo)
Mawasiliano : 0765494548
NB: STENDI IMEHAMIA MBEZI HIVYO VIWANJA MBEZI VINATEGEMEA...
Sehemu kubwa ya maisha yako kama mfanyakazi unaitumia kwenye eneo la kazi. Ingawa inategemea na aina ya kazi unayoifanya, ni wazi muda mrefu kwa siku unaoutumia kutekeleza majukumu yako unakuweka karibu zaidi na wafanyakazi wenzako kuliko hata familia na marafiki. Mazingira haya ya ukaribu wa...
-ina vyumba 3 kimoja master ,sebule,dinning hall,jiko,stoo na public toilet
-Kiwanja kina ukubwa wa 30 kwa 25 (750sqm)
-pamepimwa lakini hapana hati
- Umeme na maji vyote vipo.
-Ukuta kuzunguka nyumba
Bei:mil 70
mawasiliano :0692 582 135
: 0738783625 wasap
NB :PIA KUNA NYUMBA NYINGINE...
-Kiwanja kipo Kimara Temboni kwa Abas umbali wa km 2 kutoka Morogoro road
-Kina ukubwa wa sqm 700
-Barabara zinapitika vizuri
-Huduma za maji na umeme zipo
-Mazingira jirani(neighborhood) ni rafiki na ya kuvutia
BEI; mil 17
MAWASILIANO: 0765 494 548
NOTE: Muhusika ana shida ya haraka...
Specification
-Kiwe sehemu tambarare
-Kisiwe mbali sana na barabara (Morogoro road) 800 to 1km
-Kuanzia sqm 500
-Pawe panafikika kirahisi
Kama unacho nichek: 0765 494548 chap chap tufanye biashara
-Ina vyumba vinne kimoja master
-Sebule
-Dinning hall
-Jiko
-Stoo
-Choo cha jumuia
-Kiwanja kina ukubwa wa sqm 700
mengineyo
-ina fremu 4 za kupangisha zinazotumika
-ina nyumba ya pembeni ya kupangisha yenye vyumba 2 na sebule ..chumba kimoja master
-perving blocks
-ukuta kuzunguka nyumba...
-Inakopatikana : Kinyerez mwisho
-Ukubwa wa kiwanja : sqm 700
-Idadi ya vyumba : 3 kimoja master
sebule,dinning hall,jiko,choo na bafu la jumuia.
-Nyumba ina finishing ya urembo na
rangi ,vioo vya alluminium,gypsum, tiles ,perving blocks nje pamoja na ukuta kuzunguka nyumba.
BEI: mil 65 (...
-Nyumba inapatikana Tabata Kimanga
-Vyumba vitatu kimoja ni master
-Sebule
-Mahala pa kulia( dinning hall)
-Choo na bafu la jumuia
-Sakafu ya vigae
-Kiwanja kina ukubwa wa 500 sqm
-Kiwanja kina ofa na kimepimwa
-Fensi ya ukuta
-Perving kuzunguka nyumba
BEI: 55 million(negotiable)
Mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.