yangu inazima ukiwasha taa sita kwa wakati mmoja, nimeenda tanesco tangu july 15 mpaka leo wapi,kuna mfanyakazi alinitonya kwamba mita hizi ni za mchina na ni bomu!!!!!!
ushauri acha kabisa kununua smartphone yenye windows os, report ya hivi majuzi inaonyesha mauzo ya hizo simu yamepungua kwa 50% na kwa sasa simu hizo ni asilimia 1.7 ya smartphones zilizouzwa kwa wateja globally na usishangae microsoft ikaachana na hiyo biashara kwa source jaribu ku google...
laptop yangu ina w8 enterprise iliwekwa dukani wakati nilipo inunua, shida iliyopo nashidwa ku upgrade kwenda 8.1haipo kwenye store hii vipi nalazimika kununua hiyo w8.1 upya????
kuna njia ya kubomoa majengo marefu bila kuadhira majengo na mali zilizoko jirani na jengo husika kwa kutumia milipuko ya baruti inaitwa buiding implosion inayofanywa na controlled demolion industry ie check youtube!!! Kwa hapa tz hiyo industry haipo kabisa au niseme sijaona ikifanyika
Nimejaza form ya simbanking tangu week iliyopita lakini sijapata message ya kujiunga mpaka leo nawapa big up nmb kwa utendaji wao kwenye nmb mobile ???
natumia w7,nadhani cpu inafanya kazi kwa sababu kila ukizima power tab ya monitor ukiwasha very briefly inaonyesha computer Ilisha boot na Kwa Haraka unaweza ukaingia kwenye applications lakini monitor inarudi kwenye kiza unaona maandishi au icons Kwa mbali sana!!!!!
Heshima zenu wana jf, ninayo desktop aina ya Dell inspiron 520s ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lkn kuanzia jana baada ya watoto kuchezea games, uki boot monitor inaonyeshe Iko kwenye sleep mode na inazima na kuweka kiza je nitumie njia gani ku solve tatizo hili hapa nyumbani kabla ya kutafuta...
Wana jf heshima zanu, leo katika pita pita yangu kwenye net nimesoma uzinduzi wa 4g tigo hapo bongo katika maeneo ya mlimani na masaki, walio katika maeneo hayo na wameshatumia hiyo service watujuze kuhusu performance yake????
Fanya hivi minya button ya audio ambayo kama sikosei iko ya pili juu kulia kwenye remote yako hamisha kutoka stereo Kuja right au left unapata sauti!!!!!!
Kwenye hizo nchi ulizotaja hapo juu naweza nikakubaliana na wewe Kwa Botswana tu Lakini wa Malawi hata hapa bongo wengi ni MA houseboys na girls, Swazi ndiyo usiseme idadi kubwa ya wanaume wanabeba boksi sa, kuwa na wa tz wanaobeba boksi us, UK au sa sio kitu cha ajabu sababu kubwa ni kwamba us...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.