Sioni kama ni vyema CCM kuendelea kutumia nguvu nyingi kujitamba na kujigamba majukwaani kwani Hadi Sasa sioni chama Cha kushindana na CCM. Upinzani wenyewe ni kama upo haupo, chadema nao ni kama wapo hawapo, ict wanaojiita wazalendo nao ni kama hawapo vile.
Kwa kurahisisha ni kwamba upinzani...
Sasa ndio muda mwafaka Kwa waheshimiwa kujionesha mbele ya jamii kuwa wako karibu na wananchi hasa tunapoelekea kwenye kipindi Cha uchaguzi.
Baadhi ya matukio yanayoweza kuambatana na kujipitisha ni pamoja na:
1. Kutoa misaada Kwa makundi maalum
2. Kuhudhuria matukio ya kiserikali.
3...
Kufuatia na yanayoendelea Jijini Arusha , uwezekano upo mkubwa John Mongella kuteuliwa kuwa Mbunge na badae kwenda kugombea Ubunge Katika Jiji la Arusha akichukua nafasi ya Gambo ambaye Kwa kweli ameonekana kupoteza mvuto mbele ya jamii ya watu wa Arusha Jiji.
Lakini utabiri unaonesha kwamba...
Kufuatia pangua pangua iliyofanywa usiku huu, uwezekano upo wa mabadiliko kwenye nafasi ya katibu mkuu wa CCM taifa ambapo John Mongella aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha anaweza kupewa nafasi hiyo na nafasi ya ukatibu mwenezi taifa kuchukuliwa na Amos makalla.
Takwimu zinaonesha hao ndio Kwa...
Kutokana na utendaji kazi mzuri wa Lengai Ole Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro kuna haja ya mheshimiwa rais kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ili akapige kazi
Lakini pia wananchi wengi wametokea kumpenda Ole Sabaya kutokana na matendo na kazi nzuri aliyoifanya...
Mrejesho:
Aliyegonga gari langu kapatikana akiwa anasumbuliwa na kuumwa Kwa kichwa tangu siku Ile Hadi Leo. Ndipo nyumbani kwao wakamwambia Rudi ulipokuwa mtafute uliyemgongea gari uombe radhi na Kisha umpe Hela ya kurekebisha coz hukufanya busara Kwa kujidai unakimbia.
Basi baada ya kuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.