Kwenye education info kama mtu katokea form 4 then 6 then baada ya kuto paform ipasavyo form six akaenda diploma so now pale post after form four inatakiwa nijaze dipoma au advanced
Kwa mwenye kujua namna ya utatuzi katika mfumo huu mpya wa bodi ya mikopo Helsb yaan kila niki attach file kwenye Guarantor id card in pdf form ina leta mrejesho wa
Invalid file type naombeni msaada
Ni rahisi fans wa man utd kumchukia de jong kwa kuringa kwa mda mrefu kutokana na sababu zake binafsi ikiwemo
(mapenz kwa barca hivyo kuendelea kupambania namba,matamanio ya kucheza uefa,kudai Deni analo idai barcelona na ubovu wa man kwa kipind cha karibuni)
Lakin de jong n mchezaji mzuri...
Bado manchester haijawa sawa maana livakuku haiko fom na ina mapungufu sehemu ya katikati ambako keita au tiago wange fit in majeruh pia kuto kuwepo kwa konate au matip kuli week defensive isitoshe tume shinda lakin mechi kwa ujumla tumezidiwa kiasi kikubwa kasoro magori sisi tulicheza kwa...
Tusichekane bwana raha ya uefa n kubeba kombe apo mmoja tu ndo atachukua kombe mwisho wa siku wengine watabaki kua wasindikizaji anae cheza europa akibeba anakua na thamani kuliko msindikizaji
Ability ya de jong katika ukabaji ni kubwa kuliko fred na ndio maana fred huwez kumchezesha CB pia D jong ukiwa nae atakuoffer vitu vingi kutokana na uwezo wake wa passing skills kubwa kuliko hao diffensive unao wazungumzia pia ten hag haitampa shida ku copy mfumo maana ni mtu ambae alishawai...
De jong sio kama unavyo mchukulia yeye sawa ni Cm lakini anauwezo mkubwa wa kukaba ndio maana xavi aliwai kumtumia kama center back na pia aliwai kucheza kama centrel back mechi 13 akiwa ajax ambazo 10 walishina na 13 kutoa droo pia anauwezo wa kucheza midle zote ikiwemo CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.