Hapo ndo wazungu wanajichanganya sana hapo!!.........hivi mutu nyeyote uta tawala vipi kwa kupigana vita iliyo gharimu Maisha ya watu wako!! katika pori uliloingia na kujitwalia watumwa kiasi unacho taka???
kwa nini ukapeleleze kwenye Mapori ya wafa hoi watumwa?? si ulikuwa unabeba tu...
Acha utani bana vibinti vya kazi?? kanyama ka hamu kale???? halafu vikizoea kula kiporo cha Baba mwenye Nyumba vinapendeza weweeee!! heee! halafu kakupigie Punky hivi??
halafu vinakaaga ndani tyuuuu!! vinakula kiyoyozi /celling fenny mateso yataanzia wapiii? yaani vinapendezaga...
Nikisikilizaga watu wengine nacheeeka!! sasa km wanafuga Majini si ndo safi ,....wazuri hao tuna faa kuwaiga hiyo technolojia ya bure kwa sababu hakuna haja ya askari, polisi jeshi!
walinzi yaani tuna ajili majini hayo tu!! yanakula udi tyuu!....... rahisi sana! hao ni wazuri tuwaige hata...
Hilo ni kanisa lenu la Roma..........SDA, Lutheran. Assemblies of God nk la kwanza ni tiba yao na ni rahisi sana kwa woote wa hali ya chini mpaka vijijini hukooo tarime wapooo!....ni Duniani koteeeee!!
Misheni zinatoa ajira kwa wooote!...shule zao ni bei nafuu kwa wooote na zimefanya...
Nendaaaaa!!! bana nyie ndo , mlikuwa mnasumbua walimu wa UPE kwa utoro!...kazi kuwindana tyuuuu!! leo mnalia maendeleo hata hujui tuliko toka na sasa tuko wapi!!
haya tuliyo nayo leo mkoloni hakufanya wala kuyafikia na alikaa humu miaka zaidi ya miambili!....piga picha kwa kasi...
Huo ushauri wako ni wa kimaskini/kijinga ungekuwa karibu ningekupiga makofi mpaka unyeeee!!...watoto wangu wakatafute wao hukoo waleteee hapa!! ..mali hizi ni zangu!!
wajitahidi wao! hata km nimefilisika leo ni mimi km mimi!! ni kawaida ya matajiri wooote Duniani ndo tulivo!..wao wasubiri...
Waislamu wooote ni watu wazuri sana!! bana weee! kwa misosi kariakoo kwakweli tunafaidi sana! hata km wanafanya matambiko kuna ubaya gani??
Mbona kanisani mnatoa hela ??? zikasaidie maskini?? muslamu yeye ananunua kabisaaa hadharani mje mle wooote!......tatizo mleta mada mchoyo/roho...
Na ulivo na tako kubwa halafu hujaguswaaa! kifupi weye bado mnato!! .....utamu utakao upata hutakubali maku tena bali utatamani mshedede tu!! na ndo unacho kitafuta sasa subiri tu! utafurahia!
hakuna haja ya vilainishi siku hizi siyo kwamba hawakujui wenye mali wanakujua sana ila...
Kumbe ni mzima anaweza kuvuna korosho tena kwenye shamaba la hovyo kabisaa??...eti huyu ndo mgonjwa aliye lazwa India kwa Mammmilioni yetu!! sasa sijui ukiangika hapo shambani utaenda wapi na hela huna jiwe ndo ivo!
Ndugai sijawaiga kulipenda hata kwa dawa!! lilikuwa joga sana!! hasa jiwe akilitisha tu hilooo linafuata!! hkn cha sheria wala ni ni km hupendwi na wenye madaraka unafukuzwa tu km mbwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.