Na wanafunzi wapya wanasajiliwa lini?maana selections hawajatoa bado na nimeshachoka kuingia kila cku kwny website yao jaman hawatuambii hata 2po njia panda tokea mgomo ulivyotokea hadi sasa
Jamani,naomben mniambie wanafunz wapya Chuo cha Ustawi 2011,wanaanza kusajiliwa lini jamani wengn 2mechoka kucubir mpaka bac.Na je inavyocemekana kwamba hakina hadh ya kupokea wanafunz wa bachelor mpaka kipatiwe ithibati mpya ni hadi wa diploma na certficate,au inakuaje?naomben mnisaidie.
Wandugu,naomba mnisaidie.nimeambiwa eti baking soda inaweza kung'arisha meno ya rangi na kuwa meupe.je kuna ukweli wowote?na baking soda ndo baking powder au ni magadi.asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.