Search results

  1. S

    Chuo kipi kinawanawake wazuri na warembo

    Dah..warembo,nenda Muccobs,japo chuo kinabana lakin kuna watoto aisee..duuh
  2. S

    Postgradute diploma chuo cha ustawi wa jamii

    Mapengo..thank u kwa kutupa moyo.maana
  3. S

    Postgradute diploma chuo cha ustawi wa jamii

    Pole xana,mie mwenyewe hapa nipo hooi
  4. S

    Mgogoro wa uongozi na wakufunzi chuo cha Ustawi utaisha lini?

    Na wanafunzi wapya wanasajiliwa lini?maana selections hawajatoa bado na nimeshachoka kuingia kila cku kwny website yao jaman hawatuambii hata 2po njia panda tokea mgomo ulivyotokea hadi sasa
  5. S

    Je, kuna dawa ya kusafisha na kutibu meno yaliyooza?

    Jamani nisaidien wapendwa meno yangu yameoza mno
  6. S

    Meno ya rangi

    Na baking soda inang'arisha
  7. S

    Chuo cha ustawi wa jamii-DSM, nipeni data..

    Jamani,naomben mniambie wanafunz wapya Chuo cha Ustawi 2011,wanaanza kusajiliwa lini jamani wengn 2mechoka kucubir mpaka bac.Na je inavyocemekana kwamba hakina hadh ya kupokea wanafunz wa bachelor mpaka kipatiwe ithibati mpya ni hadi wa diploma na certficate,au inakuaje?naomben mnisaidie.
  8. S

    Je, kuna dawa ya kusafisha na kutibu meno yaliyooza?

    Dedii,ni baking soda?au baking powder?na je ni kwel meno yanakua meupe?plz reply wangu bac
  9. S

    nawezaje kupunguza matiti makubwa

    Kuna dawa ya kupaka matiti yanakua madogo kabisa Lol
  10. S

    How to use JamiiForums effectively

    Wandugu,naomba mnisaidie.nimeambiwa eti baking soda inaweza kung'arisha meno ya rangi na kuwa meupe.je kuna ukweli wowote?na baking soda ndo baking powder au ni magadi.asante
Back
Top Bottom