Hiki ndicho ulichobakiza,
Ajabu umepewa majibu mengi sana humu, Ungekua mtu ambae ni mwepesi wa kupambanua mambo nadhani mpaka sasa ungekua umeshafahamu Dunia ni Tufe.
Tukileta picha sisi za kuelezea mambo mbali mbali, Unadai picha sio uhalisia
Lakini wewe unatutumia picha kama hii,, Tukisema una matatizo inabidi utuelewe
Ati nipo addicted na picha&video
Ndugu ulitaka niwe addicted na maneno matupu ? Sio wewe ambae huwa unaomba video au picha inayoonyesha curve ? Au sio wewe
Picha au video isingekua muhimu, usingekua unahitaji picha za hivyo vitu unavyoviomba.
Na je ina maana umeshindwa kutambua nmekutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.