hao wamefanya ni njia mbadala ya kukidhi haja zao sio kwamba wanapenda ndio maana baada ya hapo wengi wao huacha na kuendeleza dushez. Ninaozungumzia ni hawa wa iyari
Kama ilivyo kwa upande wa wanaume kujichua ila wanaume unakua pekeyako.
Kwa wanawake ni tofauti ni lazima wawe wawili waweze kugusanisha vikojoleo vyao. Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona...
Propaganda za kifeminist hizi mbona tumezijua hamtuwezi na hatuna habari na nyie na mkileta vi k vyenu tunavibandua na hamna cha kutufanya halafu no ndoa
Wanaume wakilalamika masingo maza sio watu muwe mnaelewa. Fikiri hapo ungemsomeshea na kumlelea mwanae alafu mwisho wa siku anakuja kuchukuliwa na baba wa mtoto kirahisi tu na wewe kupewa maneno ya kuuudhi. Singo maza is a no go zone chapa sepa
Moja kwa moja kwenye mada
Nenda kwenye mahakama zinazo Dili na mambo ya ndoa jipe muda wa miezi kadhaa kusikiliza kesi zilizopo katika hizo mahakama.
Pia sikiliza vizuri maamuzi ya majaji juu ya hizo kesi.
Zingatia vizuri mwanaume anachukuliwaje kwenye hizo na anaonekanaje.
Ukibahatika...
Watu wawili ambao huwezi kuwashauri maisha yako yote ni mwanaume mwenye pesa na mwanamke alie penda hawa watu nunu popcorn na juice yako tulia endelea kuangalia muvi inavyo enda
Sio kweli napingana nayo hizi tabu sijawahi ziona maisha yangu yote na ni mume wa mtu mwenye watoto.
Mimi naona kuvuja damu kila mwezi ndio tabu zenyewe, huli hadi unyanduliwe hizi ndio tabu zenyewe, hupewi mchongo bila kuvuliwa chupi hizi ndio tabu zenyewe.
Kifupi alie waambia wanaume...
Mzee nikuambie tu kitu kimoja maji hufata mkondo.....na nature huwezi istopisha hivyo ndivyo mlivyo.
Ninacho kiona hapa una hangaika kukopi na kuigiza necha za watu wengine. Kuna koo wanaume wanamahomoni mengi ya kike hivyo kwenye ukoo wao kuwa na mapunga wengi haimaanishi na kwenu iwe hivyo...
Bro unajiona unajua ila wewe na wote walio like nasikitika kuwaambia akili zenu zipo mbali sana nyie ndio wale wanafunzi kuelewa hadi fimbo nyingi sana .
Huyo jamaa atakua na page ambayo wanawake wapo huru kutoa ya moyoni na yeye ni mwanaume ila anakopi kule na kuwaletea huku.
Mbona jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.