Yai la bundi ni dawa ya magonjwa sugu, unalinywa bichi bila kuchanganya na ki2, asubuhi kabla hujala kitu chochote, unakaa baada ya masaa matatu ndo unakula chakula kingne.
Pole sana! Mshtakiwa hawez kushinda kesi bila kutoa ushahid,huyo ndugu yako anatakiwa atoe ushahid au atafute mashahidi wataoweza kumtetea aonekane hana hatia,ongea na wanasheria wakuu wajue cha kufanya kwa hao wanaotaka kupindisha sheria.
Wana jf msipende kudhihaki wa2 na dini zao. Kama hunatopic ya kuanzisha bora ufue mashuka yako ukalale, laana ya Mwenyezi Mungu(s.w) itawapata nyie mnaomdhihaki mwenzenu bila kuwa na uhakika
We Naz usi2chefue,inaelekea hujafundwa..kama unampenda huyo m2 ungekuwa mstaarabu kutafuta ushaur in a private way co kuanika mambo ya chumban kwny Jf .JIHESHIMU NACC UTAKUHESHIMU.
Huo ni utapeli ndugu yangu, hata me last wik nimepata text kwny cm eti namba yang imeshinda pound kadhaa,wakantaka nijibu kw email nw wanataka niwa2mie bank account yangu,nimeamua kuwapotezea ni wez watupu.
Mnalalamika sana watu, mkiambiwa mchange pesa ili wanunue majenereta makubwa ili kupunguza tatizo mtakubali? Chamsingi hao mafisadi watoe hayo madola walojaza kwenye account zao wanunue majenerata. Kuhusu maji,wachimbe hata visima kama dawasco wanazingua
Co lazma unywe mkojo hata kama unaamin ni dawa, co salama kw afya yako, mkojo ni sumu unaharibu maini na figo. Bora unywe alovera au muarobaini lakin co mkojo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.