Search results

  1. S

    Hawa ni nzi au nyuki?

    hoa n nyuki,wanafata asali
  2. S

    Mkazi mmoja wilayani Bukombe afanya maamuzi mazito

    huyo ana sababu nyingine sio ugumu wa maisha pekee
  3. S

    Sex ni suluhisho la ugomvi (misunderstanding)?

    Naogopa kuchangia,mie bado mwanafunz! Ila co suluhisho bali hupunguza hasira!
  4. S

    HILI SOFA LA UKWELI jamani

    zuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii saaaaaaaaaaaaaaaaaana
  5. S

    Happy Birthday Mwita25

    Hapy b'day kaka! Mungu akubariki sana, akuzidishie busara uwe the real great thinker
  6. S

    Mayai ya Bundi.

    Yai la bundi ni dawa ya magonjwa sugu, unalinywa bichi bila kuchanganya na ki2, asubuhi kabla hujala kitu chochote, unakaa baada ya masaa matatu ndo unakula chakula kingne.
  7. S

    Soma hapa mwana Jf unisaidie

    Pole sana! Mshtakiwa hawez kushinda kesi bila kutoa ushahid,huyo ndugu yako anatakiwa atoe ushahid au atafute mashahidi wataoweza kumtetea aonekane hana hatia,ongea na wanasheria wakuu wajue cha kufanya kwa hao wanaotaka kupindisha sheria.
  8. S

    I loved you a lot but i don't need you any more, i hate you

    The boss unatisha! Uko juu kw majib.can we be frndz?
  9. S

    Nashindwa kupanga bajeti ya mwezi, nifanye nini ili niweze?

    Punguza mahitaj yasiyo ya lazma kama kununua nguo na via2 mara kw mara,na vocha.
  10. S

    Beach in Japan ... woww..

    Wizi m2pu
  11. S

    Acheni roho mbaya mpeni Marks zake

    Acha kujiuza binti, uko ovyooo! JIHESHIM
  12. S

    Hivi huyo wa katikati anapiga sala au anawaza issue ya Jairo?

    Wana jf msipende kudhihaki wa2 na dini zao. Kama hunatopic ya kuanzisha bora ufue mashuka yako ukalale, laana ya Mwenyezi Mungu(s.w) itawapata nyie mnaomdhihaki mwenzenu bila kuwa na uhakika
  13. S

    Heri mume wa mtu?

    We ni nouma!
  14. S

    Huyu mwanaume ni balaa......

    We Naz usi2chefue,inaelekea hujafundwa..kama unampenda huyo m2 ungekuwa mstaarabu kutafuta ushaur in a private way co kuanika mambo ya chumban kwny Jf .JIHESHIMU NACC UTAKUHESHIMU.
  15. S

    My thoughts, what are yours?

    Pole xana Asprin,nenda english coz hata ya mwez mmoja
  16. S

    Je huu ni utapeli au kuna ukweli?

    Huo ni utapeli ndugu yangu, hata me last wik nimepata text kwny cm eti namba yang imeshinda pound kadhaa,wakantaka nijibu kw email nw wanataka niwa2mie bank account yangu,nimeamua kuwapotezea ni wez watupu.
  17. S

    Muhimbili hakuna umeme!

    Mnalalamika sana watu, mkiambiwa mchange pesa ili wanunue majenereta makubwa ili kupunguza tatizo mtakubali? Chamsingi hao mafisadi watoe hayo madola walojaza kwenye account zao wanunue majenerata. Kuhusu maji,wachimbe hata visima kama dawasco wanazingua
  18. S

    Mkojo ni dawa!

    Co lazma unywe mkojo hata kama unaamin ni dawa, co salama kw afya yako, mkojo ni sumu unaharibu maini na figo. Bora unywe alovera au muarobaini lakin co mkojo.
Back
Top Bottom