Tatizo kubwa ni ukumbatiaji, mtu anakamatwa kwa ubadhilifu wa fedha anahamishiwa wilaya nyingine anaendeleza mchezo huo huo. Tatizo ni urafiki katika kazi, wangekua wanawajibishwa haya mambo yasingekuwepo.
Baadhi ya wilaya madiwani hawaonekani, wapo kama hawapo pesa zinaishia kuchakachuliwa na...
Hizi halmashauri zimezidi kula pesa, tena wanazitafuna wazi. Kuna H/M huku singida inalalamikiwa na kila mtu si watumishi hadi wananchi wa kawaida, hizi halmashauri zinapaswa kuchunguzwa
jamani mama mchungaji anachunga kondoo, kama kweli anachunga nini hapo, kufundisha wizi. Wanafuja 2 uchumi wa nchi afu si walala hoi ndo 2nasuffer da consequences.
Naona kawa mtabiri, hahahahaha yani huko ofcn kwake hana kazi za kufanya mpaka aongee huu u2mboo, au ndo alikua anatafuta njia ya kusikika 2tambue uwepo wakee, nonesense.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.