Wakenya terminals zenu nzuri sana tena sana...shida ipo kwenye treni yenu na speed yake😂😂😂
If you use common sense huwezi fananisha diesel engine vs electric train
jaribu kuficha ujinga wako kidogo...sasa ulitaka iwe siri ili wateja washtukizwe kuwa KQ wamekatisha safari za Nairobi-Dar kimya kimya? Watu wanapanga safari zao mapema hivyo ilikuwa muhimu kuwajulisha public ili waamue safari zako kulingana na taarifa waliyopewa....hata juzi hapa tumeona mabasi...
Ni umri mzuri kwa vijana wanaójitambua. Tanzania imewahi kuwa na viongozi wenye umri mdogo zaidi ya huo. Mfano, Dkt. Salim Ahmed Salim na viongozi wengi baada ya uhuru.
Kabisa walipe deni letu kwanza ndio wahamie huko...
By the way hiyo ni mipango ila mpaka kukamilika itachukua muda kidogo maana 3 trillion TZs sio hela ndogo na upatikanaji wake hauwezi kuwa wa haraka hivyo
Usiteseke boss nenda kwenye website yao
https://olas.heslb.go.tz/olams/pre-applicant alafu nenda sehemu imeandikwa loan beneficiaries utalogin kwa namba ya form 4 kisha utaweza kuona statement zako in full...ukikaribia kumaliza unaweza kwenda ili wakupe barua ya kumaliza.
Ukiwa mfuatiliaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.