Sincro wanacontrol minara ya voda na tigo kwa upande wa power zaid so Sincro nafasi wanazotoa huwa ni za waliosoma Electrical na mechanical engineering
Sandu George a.k.a Kidbway kwa sasa anafanya kazi katika kampun ya Bongo5 Media Group kampuni inayomiliki jarida la Mzuka pamoja na mtandao wa www.bongo5.com,pia Fredrick Bundala a.k.a Skywalker nae kaajiriwa Bongo5.
Ni hayo tu
Just follow your heart fanya biashara ya microfinance kama unavyowaza kikubwa watafute tu wazoefu wa biashara kama hizo wakupe ujuzi wa kazi.Wanaosema huo mtaji ni mdogo wakumbuke siku zote hakuna pesa inayotosha cha mhimu ni kuweka mipango yako vizuri baaasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.