Search results

  1. S

    Tunanunua Gallstones

    Habari wadau mwenye mawe ya kwenye nyongo za ng'ombe nanunua. Njoo PM tuongee biashara
  2. S

    Natafuta mnunuaji wa Soya

    Nauza soya 1900@kilo. Karibu tufanye biashara.
  3. S

    Fursa ya uwekezaji Dodoma Mjini

    Habari wapendwa ni matumaini mko wazima wa afya. Napenda kuwashirikisha fursa ya kuwekeza ndani ya Jiji LA Dodoma. Ni hivi anatafutwa muwekezaji wa kuingia nae mkataba ajenge Jengo la ghorofa maeneo ya mjini kabisa ya Jiji LA Dodoma (Uhindini). Eneo ni strategic kwa biashara hivyo mwenye...
  4. S

    Naomba ushauri kozi ipi nisome kati ya hizi

    Habari wadau, Nina degree ya Economics nataka kusoma Masters ninazo kozi mbili naomba mnishauri ipi ina soko mtaani kati ya Msc Finance and Investment toka IFM na Msc in Economics from Open university. Napenda kujua ipi ni kozi isiyona shida ktk usomaji wake na baada ya kusoma ipi itanisaidia...
  5. S

    Mtoto wangu anatapika kila nikimpa chakula. Je, hizi ni dalili za ugonjwa gani?

    Habari wandugu, Nina mtoto wa miaka minne juzi alipotoka shule alipata chakula cha mchana then akalala, alipoamka akawa analalamika kichwa na tumbo vinamuuma. Nilimpa Panadol then tukalala sasa usiku wa saa kumi akataka kwenda haja, aliharisha na ikawa mfululizo hadi asubuhi. Asubuhi nimempa...
  6. S

    Wachimbaji wa Mashimo ya Choo Dodoma

    Habari, kwa wakazi wa Dodoma mjini tunatoa huduma ya kuchimba mashimo ya choo kwa ufanisi mkubwa. Bei zetu ni ndogo na pia tunachaji kutokana na mwamba uliopo. Karibu PM kwa mawasiliano zaidi.
  7. S

    Natoa huduma ya Kuapply Vyuo.

    Natoa huduma ya kuomba nafasi za kusoma chuo (online application) kwa popote ulipo nakuhudumia na pia kama unashida ya kuomba loan board karibu, gharama kwa mtu mmoja ni 30,000 tu. Pia tunatoa na ushauri wa kozi za kuomba.
Back
Top Bottom