Mang'enya alikuja kupewa uchifu WA heshima WA kibondei baadae baada ya kuhaso Sana kama mwalimu akizunguka Tanzania.Si kama 'machifu' hao uwazaniao.tafuta kitabu chake cha Displine and Tears utapata uhalisia humo
Nimepata kusoma moja ya kitabu alichoandika huyu Mzee Erasto Mang'enya kinaitwa " Displine and Tears".ni kitabu kizuri Kwa kweli kikielezea uzoefu wake kama mwalimu kipindi cha ukoloni mpaka Uhuru.
Unajua totally ukikiangalia hicho kinyago huhitaji kuwa na macho ya kiroho kugundua kuwa kuna uzima una exists ndani yake..kuna uwezekano mkubwa kuwa ni kweli huwa vinabeba roho.sasa ndio ninapata nafasi tena ya kujifikirisha kuwa je ni kwanini na kwa sababu ipi husababisha vinyago au midoli...
Aisee nina vinyago viwili vya kimakonde nililetewa na mdogo angu alipoenda site ntwara..mda huu nasoma hii kitu naviangalia kwa umakini sana.mwenyewe akiclaim kanunua kwa gharama kweli.ila ss napoteza mzuka wa kuendelea kuviweka ndani,kumrudishia siwez na wala kuvitupa si hekima.i guess...
Yani kwa kweli neno mkuu ni km legal term ndani ya jf inayodumisha kuheshimiana,kuthaminiana, na zaidi ni brand ya hekima na busara ya jamii yetu watanzania.hivyo linapotumika humu huakisi vyote hivyo nilivyovitaja.na ukitaka kumjua mtu ni member wa jf hata kwa msg za kawaida au maongezi yyte...
Kwanza unaonekana wazi kuwa unatania tania(namna unavyojibu baada ya kuquote).
Nilipokuwa nagundua kuna 'mianafunzi' type km hii nilikuwa nacharaza sn sjamboks..shame
Daaa ktk siku mkuu@The Boss umenikosha basi ni kwa hili andiko..hii ni tabia mbovu sn.huwa nina utaratibu wa kuwafundisha marafiki na ndugu zangu juu ya kitu ninachoamini na kukielewa kuwa ni sahihi.na pia huwa napenda kujifunza pia toka kwao.ktk kitu huwa ninajaribu sn kukijenga juu ya 'madogo'...
Weza kabebwa tu..msitumie hoja eti kurusha ngumi nyingi si kuwa zilimpata..kuna haja ya kuangalia mara tatu na zaidi hili pambano angalau mjiridhishe kuwa jamaa kabebwa..tatizo mmarekani asingekubali kushindwa koz game hii ilikuwa na sura ya kidiplomasia na utaifa rather than sura ya...
Kweli kwa hiyo hoja ya kumfananisha na kina lusinde au asumpta au rage hapana si kumtendea haki..anajitahidi kuigiza binti wa watu at least anaonekana ana utu..huko kwingine ulikogusia sipendi kuongelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.