Biashara ya betting imekuwa kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni. Napenda kuuliza kwa anayejua inaingiza shs ngapi kwa mwezi. Na kawaida mtaji wake ni bei gani?
Swala/Swali ni hili; Hivi posho( allowances) huwa zinakatwa kodi??
Je huwa zinajumuishwa kwenye mshahara then kupata gross salary ambayo inakatwa kodi...kwa maana hiyo na posho zimekatwa kodi???
Imenitokea kwenye kazi yangu ninayofanya sasa natambua/ nahisi kuna usanii umefanyika hapa.
Naombeni...
ndugu wadau kweli hii ni haki??
kusherehesha uhuru bilioni 64
kulipa posho za wabunge....ongezeko >100%
kukimbiza mwenge.....
kuendeleza shule.....
kuendeleza huduma za afya......
kulipa mishahara mizuri......
kulipa wastaafu mafao yao.......
je kipi ni priority in tanzania??
tafakari:lol:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.