Katiba ndiyo yenye kila kitu. Maendeleo yanayopatikana bila utaratibu ulio wazi na uliowekwa na wananchi, ni mapenzi ya viongozi na wanafanya hivyo kwa ubaguzi kwa kuangalia wanaowaunga mkono.
SGR siyo treni bali ni aina ya reli. Angalia reli ya kati na reli ya TAZARA[SGR]. Tofauti yake ni upana wa reli na mataruma. Treni ya umeme lazima kiwe na njia ya umeme inayopita juu ya njia ya reli na kuingia kwenye treni kwa kutumia brashi/antena maalumu.
Yeyote anayetoka Tanzania angeshangiliwa na hii ni kutokana na ushiriki wa Tanzania katika kuupiga vita ubaguzi wa rangi. Wengine kule wanaijua zaidi TANZANIA kuliko mtu mmoja mmoja kutoka Tanzania.
Kuwahamisha ni UDHAIFU wa kiutendaji kwani ni mkoa gani unaopokea watumishi wavivu? Hapa Mimi naona serikali haijawa making na maana yake ni kuwa waziri ameshindwa kusimamia walio chini yake.Kwani ukiwahamisha wote kule wanapokwenda watawajibika kwa Nani? Kama siyo kueneza ubovu nchi nzima...
Hao watumishi miongoni mwao wapo wanaCCM kwa hiyo unalowaza haliwezekani kamwe. Fanya kazi mbona muda wa ziada unao anzisha miradi ya kukuongezea kipato acha kutegemea mshahara.
Ongeza kazi mapato yataongezeka.
Nikukumbushe ya KICHAA, ni mtu ambaye hana ufahamu kamili wa mambo , na mara hupenda kupewa heshima akidhani kuwa yupo sawa. Ana maamuzi yasiyo na tija kwa watu wote.
Mtu huyo akipewa urais (ingawa uais mtu hapewi) matokeo ni majanga makubwa.
Kwa utaratibu wa kumpata RAIS hapa kwetu jambo hilo...
Umeandika ukweli mtupu! shida ni kuwa ni nani mwenye ujasiri wa kuinama na kukifuta kiatu hicho kichafu.
Ni aibu sana kuvaa kiatu kipya kizuri lakini kichafu nje na ndani. Uchafu ni adui haukubaliki kwa vyovyote kwanini uonekane kwenye kiatu kipya?
Viatu chakavyu ni taswira ya uvumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.