lugoje,acha kabisa kutudanganya hakuna polisi wa Tz asiyedai na kupokea rushwa,hii ni order of the day kwa kila polisi anqpoqmkq asbh,acha kutughilibu.Namlaani mwanangu yeyote atakayejiunga na Polisi TZ.
Mwl ulieandika uzi huu una matatizo kwani watawala hawawezi kuwa upande wa mkosaji bila uchunguzi!!! you might be one of the problem!! usifanye kazi na illusions za Chuoni!! RESPECT THE AURHORITY TO BE SAFE. Naogopa hata hapo ulipopelekwa utahamishwa soon!!! TAKE CARE!!!
ukweli unabaki palepale kuwa mijini uelewa wa kinachoendelea uko juu tofauti na vijijini ambako umaskini na ujinga viko juu na chama tawala kina-take advantage hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.