Afisa Habari anatakiwa kuomba mtu wa Mass Communication au Journalism.
Hio degree yako unatakiwa kuomba kazi za Mahusiano ya Umma na Masoko mfano Public Relation Officer au Marketing Officer.
Endelea kuota ndoto ukishtuka utakuwa umechelewa, wewe komaa na Ualimu wako, wenzako wanasoma programme za maana pale Open University, wanapata kazi nzuri wewe unaendelea kupiga chaki.
Mimi nimesoma Undergraduate UDSM ila Postgraduate nimesoma OUT.
Niliwahi kuwa na mtazamo kama wako ila baadae...
Mbona hujaweka kiwango chako cha Elimu?
Mfano una Diploma au Bachelor degree(Specialization).
Vikijulikana hivyo analetwa mtu.
Mwaga sifa za hao walimu uletewe mteja.
Hata yeye ameandika BAED(Geography and Political Science and Public Administration).
Na ipo kweli UDSM na matawi yake.
Hio Political Science and Public Administration anakuwa Mwalimu wa Civics ili kukamilisha masomo mawili ya kufundisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.