Mtu anayetoka hapo anaenda kurasini apite wapi?
Azunguke kinyerezi tabata au wapi?
Ile njia ya vingunguti ndani ndani inatokea majani ya chai na vingunguti relini inapitika?
Habari wataalam.
Kwa tulioko dar naombeni mniambie natokea pugu nipitie njia gani kesho ili nifike ofisi ya uhamiaji kurasini?
Njia za kurasini zinapitika? Au nipite chocho gani nisikwame njiani?
Si mnajua hizi mvua zinaleta changamoto
Mind you nina passo namba [emoji16]
Mimi ilipata ajali.
Ilibiduka juu chini.
Nimepiga rangi garage bubu chini ya mwembe na nikaiuza siku moja.
Nadhani inategemea na aina ya gari na demand yake sokoni.
Kuna magari ni open cheque.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.