kwa anaehitaj,ninauza led tv aina ya aborder 32 ,ni full hd ina kioo cha protector ipo na hali nzuri sana kwani ninaitumia mwenyewe,pia nina simu aina ya Tecno Camon X ni mpya na ni nzuri kwa anae fuatilia simu anazijua.nina list zake zote kwa anae hitaji tuwasiliane 0678458422.bei maelewano.
WanaJF mimi nina rafiki yangu bubu ila ana uwezo wa kuendesha gari zote kubwa kutokana na kukaa yard muda mrefu na anafahamu vizuri sana gari ila sasa ni bubu. Ila anasikia na kuona vzuri,tatizo ni kwamba anaongea kwa ishara tu.
Msaada kwa anayejua juu ya hawa wenzetu maana aliniuliza juu ya...
Eti wadau tatizo la uoga wa kupima HIV ukimwi ni kwa watu wengi au ni kwa qwachache wenye hofu na afya zaoo!.mana kuna watu hawataki kusikia hii kitu kupima ,nini maoni yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.