ni amiri jeshi wa nchi ya zanzibar. zanzibar ni nchi na hatutakubali hizi propaganda za serikali. zanzibar tuna rais ambaye ndie amiri jeshi wa zanzibar. tunataka zanzibar yetu tuwe huru.
:A S shade:wakuu naomba updates kwa mwenye taarifa.:nono: walisema baada ya wiki moja watapiga simu au sms. :high5:so naona kimya tu na wiki ndo imeisha wakuu.:rockon:
haya bhana. mr ngowi umeandika mawazo yako pia ni muhimu kwa watanzania wote. me naunga mkono kwa kauli za mbowe kwani kiongozi imara ni kusimama kwenye malengo yake. so kama hayo hayatatokea ni vema akaachia uenyekiti wa chama na kuwapa wanachama wengine waongoze. peoples powerrrrrrr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.