Nadhani ni tatizo la malezi utotoni, watoto wengi hawana uhuru wa kuchallenge lolote katka femilia (Wajeuri). Pia maofisini viongozi wabaya awapendi watendaji so called Wajuaji.
Istoshe viongozi wa Dili wanaweka hao wepes ili wanakua watiifu kwa Kila agizo ama ombi la mkuu.
So wanaenjoy sana
Mi naisi alijua tunampenda kwa mema mengi anayotutendea kumbe tuko nae tofauti na ilikua tunamtaftia point tumzoofishe. Anapaswa kubadilika atende atakalo analoona ni sawa. Sisi atujui tulitakalo, Wala atuna sababu ya kupenda au kutopenda.
Mama aendelee na kazi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.