Nina Vitz ya mwaka 2000 yenye CC 990 nilichukua kwa mtu ilikuwa inatumia lita 1 ya mafuta kwa KM 5 nikapeleka kwa fundi gasket ilikuwa inavujisha oil inapeleka kwenye plug nikaweka mpya sasa hivi inakula lita 1 kwa KM 8. Wakati kwa watu wengine wenye Vitz kama yangu ni 1lita kwa KM 12 kwenda juu...
Nina gari aina ya Toyota Vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 ulaji wake wa mafuta ni km 9 kwa litre 1.
Wakati kwa wengine inakula 12km kwa litre. Kwangu tatizo litakuwa ni nini wadau.
Bachelor of business administration
1. in management
2.In account
3.In market
4.In office administration and human resources management
Pia ipi ni nyepesi kwa kusoma isiyo na mahesabu mengi
Mwenye uzoefu msaada nataka ninunue 1 kati ya hizi kwa round za mjini pia na kubana matumizi. Ipi itafaa kati ya hizi gari; Vits CC 990 na Vitz RS CC 1290 zinatumia mafuta kiasi gani kwa kila 1, lita 1 kwa KM ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.