Habari wakuu!
nimeamua kujaribu kutengeneza Website [Forum] yangu, sasa nataka ni publish iwe inatumika hapa Tanzania na East Africa pia, je nitakuwa nimekiuka mashart kuwaiga hawa walio tangulia kutengeneza, mfano Forum nyingine za East Africa pamoja na Jf?,
Mawazo yenu wakuu Forum yenyewe ina...
Habari wakuu!
Sikuku inaendaje?
Jamani nilikuwa naomba msada namna ya kuomba TIN number kutoka TRA kwa njia ya mtandaoni, yani online registration for TIN ,
Nasema hivi kwa sababu kuna baadhi ya vipengele vimenishinda kujaza,
Kwa yule mwenye uzeufu, au kwa yule aliye wahi kuomba kwa online...
Sidhani kama kuna uhusiano wa mambo hayo,
Mimi tangu nizaliwe sijawahi ugua malaria, typhoid, U.T.I sijui kaswende wala gono,
Niliwahi ugua tuhh Amiba ila nikajigundua kuwa ni ilikuwa uzembe wangu kwa kuwa nilikuwa nakata kucha kwa kutumia meno, tangu niache kufanya hivyo na mshukulu ALLAH...
Hii app zuri Sana'a, mtu akipiga namba ngeni, sipokei kwanza baada ya ile simu kukata italeta jina lake halisi, ambalo anatumia mtaani kwao, kwa hiyo ukumwambia hello Fulani , lazima ashangae kwanza umejuaje jina language.
Inafaa kwa sisi tunaodaiwa sehemu nyingi.
Kuna kitu nataka nishee na hapo watalaam walio pima, walipima tuhh hyo sperm analysis au pamoja na Kipimo cha gram stain?
Nasema hivi kwa sababu moja ama mbili, mtu/watu wakiwa na tatizo la sperm, lazima vipimo viwili vipimwe, moja ni microscopally pamoja na Gram stain.
Gram stain hii husaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.