Wikulwe
Member
- Jun 27, 2018
- 28
- 21
Habari wakuu!
Sikuku inaendaje?
Jamani nilikuwa naomba msada namna ya kuomba TIN number kutoka TRA kwa njia ya mtandaoni, yani online registration for TIN ,
Nasema hivi kwa sababu kuna baadhi ya vipengele vimenishinda kujaza,
Kwa yule mwenye uzeufu, au kwa yule aliye wahi kuomba kwa online register anisaidie.
Nasema hvi kwa sababu sina mda wa free wa kutoka kwenda TRA kuomba lessen , Maana kazini nikiingia saa mbili natoka saa kumi na nusu, kwahiyo mda unakuwa hamna.
Kuna baadhi ya vigezo vimenishinda kama
> biashara ninayo Fanya,
>plot number ya biashara yangu ilipo
Nasema hivi sina biashara yeyote ile, ndo nataka nianze na hyo TIN number .
Msada wenu wakuu.
Sikuku inaendaje?
Jamani nilikuwa naomba msada namna ya kuomba TIN number kutoka TRA kwa njia ya mtandaoni, yani online registration for TIN ,
Nasema hivi kwa sababu kuna baadhi ya vipengele vimenishinda kujaza,
Kwa yule mwenye uzeufu, au kwa yule aliye wahi kuomba kwa online register anisaidie.
Nasema hvi kwa sababu sina mda wa free wa kutoka kwenda TRA kuomba lessen , Maana kazini nikiingia saa mbili natoka saa kumi na nusu, kwahiyo mda unakuwa hamna.
Kuna baadhi ya vigezo vimenishinda kama
> biashara ninayo Fanya,
>plot number ya biashara yangu ilipo
Nasema hivi sina biashara yeyote ile, ndo nataka nianze na hyo TIN number .
Msada wenu wakuu.