Jamani wanajamii naomba kujuzwa kuhusiana na betri kwenye Desk top computers,kwa sababu computer yangu aina ya DELL ninapotaka kuiwasha siku hizi, kwanza inanialert kwamba " computer batri is low", sasa nashindwa kujua hivi na hizi desk top nazo zina batery? Na kama zinazo basi zipowapi kwenye...
Ninayo simu aina ya HTC lakini ghafla imepoteza sauti na kwenye screen kuna alama ya headphones ambayo nimejaribu kuitoa nimeshindwa, sasa nimeshindwa kueelewa nimegusa wapi mpaka kuwa hivyo,na haitoi sauti yoyote ile muziki hata incoming call sisikii simu ikiita, sasa wana JF wenzangu kama kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.