Nauza fridge kubwa ya milango miwili ipo keko dilers,inafanya kazi vizuri.bei yake 260,000.
Pia kuna frizer ndogo iko poa pia inafanya kazi vizuri imezungushiwa copper ndani .rangi yake iko poa.
Hii ipo gongolamboto.(home).
Bei yake 160,000 tu.
Nicheki.0748008079
Habari nauza laptop yangu iko na hali zuri haina tatizo lolote
Ina Ram 4 GB
Charge inakaa sana zaid ya masaa matatu
Intel 1:10 ghz
No:0748008079
Price Tsh 250000
SOLD, SOLD, SOLD
Mwaka huu nilijaribu.kulima vitunguu maji mkoani Iringa.vimefikia hatua ya kuvunwa sasa nahitaji mnunuzi atayeweza nunua vyote shambani kwa makadirio vinaweza toka gunia 12 mpaka 15 tuu
SOLD, SOLD, SOLD
Nauza printer ndogo ya canon pamoja na laptop window surface 8 pro
processor i 5 core,4Gb Ram,memory 128 ina crack kidogo juu pembeni mwa kioo lakini inafanya kazi vizuri kabisa.bei tsh230,000
printer bei 120,000
vinapatikana Gongo la Mboto Dar es Salaam.
call: 0652595942.
Habari za majukumu ndugu zanguni,
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba conection walau nusu saa au chini ya nusu saa kuendesha gari ya manual kubwa kama coaster au tata walau wiki mja tuu ili nipate uzoefu niweze kuongeza daraja la lesseni yangu NIT.
Ikiwa kunagharama za kuchangia nitakua tayari...
Wakuu poleni na majukumu, niende moja kwa moja kwenye mada, naombeni ushauri juu ya kufungua duka la mahitaji madogomadogo na kununua bajaji used kwa mtu kwa kuwa sina pesa ya kununua mpya niendeshe mwenyewe.
Sina uzoefu na biashara ya bajaji lakini duka nilishafanya miaka ya nyuma kidogo...
Kitanda 5/6na godoro lake Dodoma inchi 8, meza mbili za vioo, vinauzwa.kitanda na godoro tsh 220,000.
Meza zote 90,000.
Vinapatikana Gongolamboto kituo kipya. Simu.0652595942
Nauza jiko kubwa LA chips,karai,jiko mishikaki,kabati unaweza tumia kwaajili ya chips au vitanwa,meza ,viti.vitu vyote vinapatikana gongolamboto kwa diwani.mawasiliano 0656984940
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.