Ukimwamini Yesu, ukahudhuria mafundisho bila kukosa, ukafanya maombi na sara mara kwa mara, kiu ya kufanya mabaya inapungua na unaweza kuuamlisha mwili wako ulimi, na fikira zako hata kama kuna vishawishi.
Afadhali ya huyo, kuna mwingine muda wote anaongea matusi tu.
Utasikia, ''anaitumbukiza kuuubwa, anamwaga maji mengi'', na matusi mengine mengi.
Hii sio, wengine tunatazama tukiwa na familia, tunahitaji maneno yasiyo na ukakasi
Sawa, namaanisha ukianzisha uchokozi uwe na uhakika unayemchokoza unaweza kumdhibiti pindi akianza kujihami pasipo kutegemea nguzo za mtu mwingine
Mfano: Urusi kwa Ukraine
Mkumbushe na kule Geita kisa kuchinja mifugo, vurugu zilitokea mpaka kuuana.
Yaani mfano nimepata mgeni, mgeni ni wangu,mbuzi nimenunua kwa pesa yangu, halafu wakati wa kumchinja nimtafute mvaa kobasi anichinjie,
Hivi wavaa vipedo mpo serious kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.