Jamani ebu wacheni kukuza mambo kwani huyo Ruge ndio wa kwanza kuumwa? kama Diamond ataona yafaa atazungumza kama aifai ata achana nayo lakini sio kwa kelele zenu
Sisi hatuna tatizo na kuamini sisi tunaamini taurati, zaburi na Injili, wala hakuna tabu , wewe umedai waandishi wa biblia wameongozwa na roho mtakatifu sasa unapotakiwa kuthibitisha yupi asa kweli alitaja idadi kamili ile aliyoiona roho mtakatifu yaani 945 au 845 unaanza kuangaika na vitu...
Mungu ameshasema " wamekufuru waliosema masihi mwana wa maryamu ni Mungu" ndio maana unastaajabisha kweli kweli kuja hapa na kusema Mungu kapigwa Makofi na kutemewa mate, ata huyo Yesu ambaye alikua akila na kunya kama wewe Allah amepinga jambo hilo kuwa akufanyiwa la kufanywa kama mdoli...
Bwana anajua HESABU hawezi kumwambia huyu idadi ilikua 945 halafu aje amwambie mwengine idadi 845 kaka bwana sio Muongo , waongo ni waandishi sasa tuambie kati hao nani aliandika idadi sahihi kutoka kwa bwana ? wacha kurukaruka janja janja haiwezi kukuokoa
Wewe ndio miongoni mwa walio dhulumu , au ujijui kuna dhuluma gani kama kumfanya Mungu dhariri wakupigwa Makofi na kutemewa mate na wahuni? mnataka muambiwe kwa lugha gani ili muelewe kuwa Mungu wa kweli haitaji huu upuuzi wa kufanywa takataka na viumbe wake mwenyewe ili kuwaokoa viumbe hao hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.