Media nyingi za bongo ni kajanja! Kuna nyingine hapo hapo Mwanza inaitwa lake FM (102.5) ni shida tupu! Watu wamejitolea mpka wamechoka! Anayelipwa ni program manager tu, the rest wanaambiwa wasubirie matangazo yakiwa mengi watafikiriwa! Ni zaidi ya miaka miwili!
Na nyie wanahabari acheni...
Hbr mkuu Styvo254 ?
Gari yangu ni raum old model! Hivi punde imeanza shida zifuatazo! Mosi, ukiizima mpaka uje uibust kesho yake ! Nimebadilisha betri lakini tatizo bado lipo pale pale!
Pili, imemaliza hydrolic, naomba ushauri nitumie hydrolic gani mkuu?
Tatu, taa ya mafuta imezimika ghafla...
Pole sana ndugu, Mimi mwenzako nilishawahi kumeza mwez mzima PEP, Mara baada ya Ku jigijigi na mwanamke mwathirika! Nilipata shida sana! Yote uliyoyaeleza ni kweli tena kweli tupu! Nilipata shida mwez mzima! So ukiona MTU anameza maisha yake yote, muonee huruma sana huyo MTU! Bahati nzur...
Mko salama wana JF? Natumai nyote hamjambo! Wanasema kuuliza sio ujinga, Styvo254 napenda kuuliza kitu kimoja chief! Kwenye automatic cars, kuna kitu kinaitwa OD (OVERDRIVING) hii OD inafaa kutumika wakati gani?, inafaida na hasara gani mkuu? Je , INA uwiano wowte na ulaji wa mafuta inapotumika...
Acacia Mining – Fraud, Criminal Dealings & Deception in President Magufuli’s Face.
Time for resignations at Acacia Mining & Barrick Gold
An open and public letter to Barrick Gold Chairman, John L. Thornton
Dear Mr Thornton
We, the simple Tanzanian volunteers against corruption and fraud...
Hujambo mkuu, asante kwa kumjibu vyema! Kwa kuongezea tu super India, nganyaro, mbawa mbili, super Zambia ila kama ndio mkulima unaanza na huna uzoefu wa shamba nashauri MTU alime mbawa mbili! Haina usumbufu sana na inabumilia sana magonjwa
Swadata, unakumbuka kwenye iris 2 Kim ki-Seon alimshambulia kwa risasi captain wake! Afu mwishowe wote wanakuja kuonekana ni dhaifu sana kwa wanawake, sio baksani, Ray, Kim ki-seon na Kim hyun jun wote walikuwa dhaifu sana! Ila Mr black mwenyewe ndio alikuwa ngangari!
Afu kama kuna aliwahi kuiangalia IRIS ONE NA TWO, kama sikuielewa vizur!
Sehemu ya iris one sehem ya 20 inaonekana Kim yanjan anapigwa risasi wakati anaenda kumvisha Pete mchumba wake, lkn wakati huo bakisan akiwa amefungwa gerezeni
Maswali yangu binafsi, je, Kim yanjan alikufa? Kim sohwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.