Kifupi na katoto kamoja nilikapata enzi za kujaribu jaribu, mamake yuko vizuri kiuchumi anaishi nae kwakuwa bado kadogo, ila kuna muda nitamchukua niishi nae
Sasa imefika muda wa kuoa serious ila bado napata wakati mgumu nioe mwanamke wa aina gani atakayempenda mtoto wangu
Kuna kipindi nawaza...
Mwaka jana kunataarifa zilisambaa kua kuna walimu wa kiswahili wamepangwa kufundisha MATHEMATICS,vivyo hivyo hata mwaka huu tumeona kunabaazi ya majina yamejiludia mala mbili kwa kupangwa masomo mawili tofauti na shule tofauti,japo kunawatu wanadai mikakati flani lakini ukiangalia kwa umakini...
Ukichunguza kidogo utagundua kua biashara nyingi zinazofanikiwa ni za watu wakawaida kabisa ambao hata mambo ya biznes plan, demand and suply hawajui
Ukitoa yale makabila ambayo asili zao ni kutafta hela(Dr. Mengi) yaani wasomi wengi wenye kuanzia degree+ hata maprofesa hata wakianzisha...
Kama mimea,wanyama,wadudu hufa na kupotea hata sisi binadamu ni hivyo hivyo usiumize kichwa kuwaza maisha baada ya kifo,ukishakufa ndo umekufa hakuna cha peponi,wala motoni,wala kufufuka tena kama pombe kunywa ipasavyo,ukifa ndo nitoleee
Kama ngono fanya upendavyo, ukifa ndo imetoka hakunamaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.