Seem nyingi bila conection hutoboi, mwaka huu kunakaz zilitangazwa mahali nilikua lile eneo, watu wakatuma maombi weee, kumbe hata kabla ya deadline interview ikafanyika kimya kimya hapo ndo nilichoka, yaani lile tangazo lilikua bosheni tu, pata picha interview imefanyika kimya kimya kabla hata...
Asante kwa ushauri mzuri, ubarikiwe, wanawake wenye moyo kama wako ndo changamoto, kipindi cha uchumba hawana tatizo, mziki akiingia ndani mambo yanabadilika
Mama yake kaolewa mkuu, ndomana najaribu kusolve vitu viwili kwa mpigo.moja ndoa hili lazima, pili mbali na ndoa lazima kuwe na amani ndani ya nyumba, changamoto ni wakumpata uyo atakekuja kusimamia amani ya nyumba ili maisha yaende vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.